Usimheshimu mtu baada ya kumdharau

No comments
Quotes by Raphael JL:Usimheshimu mtu baada ya kumdharau,maana wengi kwa kufanya hivo wamejinyima fursa zilizokuwa ndani ya waliowadharau na wakagundua kuwa wanawahitaji badae,kwani dharau ni ufahari?
:Jesus Up-YKM!

No comments :

Post a Comment