ufahamu wa kutosha na uliosahihi

No comments
Hakikisha una ufahamu wa kutosha na uliosahihi wa jambo unalotaka kulifanyia maamuzi, eg, kama unataka kufanya biashara au unataka kuwekeza fanya utafiti wa kutosha, uliza taarifa na upate habari zitakazoweza kukusaidia kufanya maamuzi hayo, usikurupuke  kuamua kwa haraka ingawa yapo maamuzi ya kuamua kwa haraka kutegemeana na mazingira na wakati

No comments :

Post a Comment