Kuikimbia tamaa

No comments
Quotes by Raphael JL:Kuikimbia tamaa bila kujua unakokimbilia ni sawa na kutaka kucheka huku unalia,usipojua unakokimbilia unapofukuzwa na adui utaishia kuingia kwa rafiki wa adui ukadhani uko salama kwa muda.
:Jesus Up-YKM!

No comments :

Post a Comment