hekima ya kukuongoza kufanya maamuzi

No comments
Unahitaji hekima ya kukuongoza kufanya maamuzi hayo na namna ya kuyasema au kuyawasilisha, unaweza ukawa na maamuzi mazuri kabisa lakini ukishindwa kujua the how au namna ya kuyafanya au kuyasema au kuyachukulia hatua utafanya vibaya-1 Falme 12:1-7,12-18

No comments :

Post a Comment