Mungu anayathamini maisha yako
Kama una amini Mungu anayathamini maisha yako basi ujue pia kuwa anajali maamuzi yako kwahiyo fahamu kuwa ipo nafasi ya Mungu katika maamuzi yako, usiingie kwenye mtego wa kuamua peke yako, ni bora usiende vitani kama huna hakika Mungu yuko nawe, tambua nafasi ya Neno lake, 1 Falme 11:26-39, Mithali 16:1-4
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment